Ghasia zimeongezeka katika mzozo wa kisiasa wa miezi miwili nchini Ukraine kati ya wanaounga mkono nchi yao kujiunga na Umoja wa Ulaya na vikosi vya usalama
Malalamiko na ghasia za Kiev, Ukraine

1
Mtu akibeba bendera ya Ukraine, huku moto ukiendelea kuwaka nyuma yake kutokana na ghasia zinazoendelea mjini Kiev

2
Waandamanaji wanakimbia kutokna gruneti zinazofyetuliwa wakati wa mapambano na polisi kati kati ya Kiev, Jan 22, 2014

3
Afisa wa polisi anampiga mwandamanaji wakati wa mapambano mjini Kiev

4
Polisi wa kupambana na ghasia wanamburura muandamanaji anaeunga mkono Umojan wa Ulaya
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017