Dkt. Martin Luther King Jr. amemwacha mkewe Coretta Scott King, wakiwa wamekaa na watoto wao tatu; Martin Luther King III, 5, Dexter Scott, 2, na Yolanda Denise, 7.
Kumbukumbu ya Dr Martin Luther King, Jr
Kabla na baada ya mauaji ya Martin Luther Jr
9
Dr Martin Luther King Jr. akiwashukuru waandamanaji katika eneo la Lincoln Memorial kwa kusikiliza hotuba yake ya "Nina ndoto" (I have a dream" ) huko Washington, Agosti 28, 1963.
10
Coretta Scott King, mjane wa Dr Martin Luther King, Jr., akiwa anatokwa na machozi, katika ibada ya mumewe kwenye Kanisa la dhehebu la Baptist Atlanta , April 9, 1968.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017