Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 13:14

Kombe la Dunia: Ghana yafanya vizuri, Korea Kusini yaonyesha ushindani mkali


Kombe la Dunia: Ghana yafanya vizuri, Korea Kusini yaonyesha ushindani mkali
please wait

No media source currently available

0:00 0:12:40 0:00

Michuano ya soka inaendelea huko Qatar ambako timu nyingi zinaendelea kuwashangaza wengi. Lakini ni kitu gani ambacho kinafanya watu wapata butwaa katika mashindano haya.

Mwandishi wetu aliyeko Qatar Sunday Shomari anaungana na studio za VOA Washington DC, kutuletea yale yanayojiri akieleza timu ya Ghana pamoja na kunyakua ushindi dhidi ya timu ya Korea Kusini bado ilikuwa ikishambuliwa vikali sana. Endelea kusikiliza yaliyojiri...

XS
SM
MD
LG