Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 15:28

Kiongozi wa mapinduzi mapya Burkina Faso asema aungwa mkono na wakuu wa jeshi


Kiongozi wa mapinduzi mapya Burkina Faso asema aungwa mkono na wakuu wa jeshi
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:34 0:00

Vyanzo vya kidiplomasia kikanda vimeeleza kiongozi wa mapinduzi Burkina Faso aliyechukua mamlaka mwezi Januari alikimbilia katika nchi ya Togo Jumapili kufuatia mapinduzi yasiyokuwa na utulivu Afrika Magharibi mwaka 2022.

XS
SM
MD
LG