Kiongozi huyo wa Korea amejitokeza tena kwa mara ya kwanza baada ya wiki tatu, vyombo vya habari vimeripoti Mei 2, baada ya uvumi mkubwa kuwa Kim alikuwa mgonjwa sana au kunauwezekano kuwa amekufa.
Kim Jong Un ajitokeza hadharani baada ya wiki tatu
Watu wakiangalia televisheni inayoonyesha kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un akihudhuria Tafrija ya kukamilika kwa ujenzi wa kiwanda cha mbolea cha Sunchon, katika stesheni ya reli huko Seoul Mei 2, 2020.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017