Kiongozi wa muungano wa upinzani wa CORD nchini Kenya Raila Odinga Ijumaa amesema kuwa kashfa za ufisadi nchini zinasambaratisha maendeleao na ukuaji wa uchumi, huku akitaka Serikali ioneshe uwajibikaji katika kumaliza ufisadi.
Raila aliyasema hayo wakati akiongoza wafuasi wa upinzani kwenye mikutano ya kisiasa katika mkoa wa Pwani ambapo pia aliweza kuzungumza na wadau kutoka sekta mbali mbali.
Mwandishi wa VOA kutoka Mombasa Josephat Kioko ansimulia zaidi. Bonyeza usikilize.