Mkuu wa kanisa la Kikatholiki, Papa Francis amewasili mjini Nairobi Jumatano jioni, Novemba 25 2015, na kupokelewa na wakuu wa serikali na wananchi, akianza ziara ya nchi tatu za Afrika. .
Papa Francis akaribishwa Nairobi
1
Wanajeshi wanashika ulinzi katika barabara ya Nairobi wakisubiri kuwasili kwa Papa Francis.
2
Wakenya walokusanyika kando ya barabara kuu kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kenyatta wakisubiri kuwasili kwa Papa Francis.
3
Wafanyakazi wa Hospitali ya Mater katika njia kuu kati ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kenyatta wakimsubiri Papa Francis kupita, Nov. 25, 2015.
4
Wakenya wakiwa na furaha wasubiri kumkaribisha Papa Francis.
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017