Rais Magufuli awasili Uganda
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli awasili nchini Uganda kwa ajili ya kushiriki tukio la kuapishwa Rais Mteule wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni, Mei 11, 2016.

5
Rais Magufuli akipunga mkono kwenye kikundi cha ngoma za asili.

7
Rais Magufuli akiwa na mwenyeji wake Rais Mteule Museveni wakati nyimbo za mataifa mawili pamoja na ule wa Afrika Mashariki ukipigwa katika Ikulu ya Entebe nchini Uganda.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017