Michuano ya nusu finali ya kombe la vilabu bingwa Ulaya.
Kandanda Wiki hii, Mei 03, 2013

1
Gonzalo Higuain kutoka Argentina, mchezaji wa Real Madrid akipiga mpira kichwa wakati wa duru ya pili ya nusu finali ya Champions League, Ulaya kati ya Real Madrid na Borussia Dortmund mjini Madrid, Hispania, TJumanne, Aprili 30, 2013.

2
Fernando Torres wa Chelsea kulia, akijaribu kudhibiti mpira wakati mchezaji wa Basel Gaston Sauro kujaribu kumpokonya wakati wa duru ya pili ya nusu finali ya kombe la Europa katika uwanja michezo wa Chelsea Stamford Bridge mjini London, Alhamisi, Mei 2, 2013. (AP Photo/Kirst

3
Mchezaji wa Benfica, Rodrigo Lima, kutoka Brazil, kushoto, anapambana kuchukua mpira kutoka kwa mchezaji wa Fenerbahce, Joseph Yobo, kutoka Nigeria, wakati wa duru ya pili ya kombe la Europa Alhamisi, Mei 2 2013, mjini Lisbon.

4
Mchezaji wa timu ya Benfica Enzo Perez, kushoto, kutoka Argentina, akimenyana na golkipa wa timu ya Fenerbahce, Volkan Demirel, kulia, na Cristian, kutoka Brazil, wakati wa duru ya pili ya nusu finali ya kombe la Europa League mjini Lisbon, Alhamisi, Mei 2, 2013.