Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 27, 2024 Local time: 03:56

Jeshi la DRC linaendelea kuimarisha ulinzi kutokana na tishio la waasi wa M23


Jeshi la DRC linaendelea kuimarisha ulinzi kutokana na tishio la waasi wa M23
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Jeshi la DRC limeimarisha ulinzi Goma kutokana na tishio la waasi wa M23 huku maelfu ya vijana wakisajiliwa katika jeshi

Kura zinaendelea kuhisabiwa hapa Marekani katika uchaguzi wa katikati ya muhula wenye ushindani mkali ambapo hakuna chama kina uhakika wa kudhibiti bunge.

Wanajeshi wa Russia wameondoka Kherson katika hatua ambayo Ukraine inaona kama ya kimkakati.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG