Mwishoni mwa wiki wanamgambo wanaosadikiwa kuwa al- shabab walivamia maduka ya kifahari ya westgate mall mjini Nairobi. watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine zaidi ya 175 wamejeruhiwa.
Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi

1
Moshi mkubwa ukifuka kutoka kwenye jengo la westgate mall Septemba, 23 ,2013.

2
Waokozi wa shirika la msalaba mwekundu wakikimbia nje ya ya jengo la Westgate Mall mjini Nairobi baada ya ufyatuaji wa risasi.

3
Vikosi vya usalama vya Kenya vikiwa nyuma ya ukuta nje ya jengo la Westgate Mall mjini Nairobi, Septembam, 23, 2013.

4
Watu wakichangia damu kwa watu waliojeruhiwa kwenye shambulizi katika jengo la westgate Mall.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017