Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 08:45

Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi

Mwishoni mwa wiki wanamgambo wanaosadikiwa kuwa al- shabab walivamia maduka ya kifahari ya westgate mall mjini Nairobi. watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine zaidi ya 175 wamejeruhiwa.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG