Shambulizi limetokea wakati wabunge wakikusanyika kwa ajili ya kikao cha bunge kumchagua rais mpya.
Maafisa wa usalama walisema takriban watu watano walijeruhiwa.
Hakuna aliyedai mara moja kuhusika na shambulizi hilo.
Makombora yalirushwa kulenga eneo la Green Zone mwishoni mwa mwezi uliopita wakati wabunge walipokuwa wakikutana kupiga kura kumchagua spika wa bunge.
Some information for this report came from The Associated Press, Agence France-Presse and Reuters.
Baadhi ya taarifa hii inatokana na mashirika ya habari ya AP, AFP na Reuters