A heat wave in India has left more than 500 people dead, and forecasters expect the punishing conditions to persist in the coming days.
Joto kali yasababisha vifo vya watu elfu moja India

1
AAbiria mmoja akijimwagia maji katika kituo cha train wakati wa joto kali kuwahi kutokea ambapo kiwango cha joto cha fika nyuzi 48 Celsius, huko Jammu, May 25, 2015.

2
Dereva wa tuktukakipumzika wakati wa wimbi la joto kali huko, Hyderabad, India, May 25, 2015.

3
Mfanyakazi anajaribu kulala ndani ya kikapu katika soko la mboga huko Kolkata, May 25, 2015.

4
Joto kali sana lawasababisha wachuzi hawa wakipumzika chini ya kivuli cha mti huko Hyderabad, May 25, 2015.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017