Hillary Clinton ameweka historia licha ya changamoto za kisiasa na kibinafsi na kua mwanamke wa kwanza kushinda uteuzi wa chama kikuu cha kisiasa Marekani. Akishinda uchaguzi wa Novemba atakua mtu wa kwanza kua mke wa rais, Seneta wa New York waziri wa zamani wa mambo ya nchi za nje na kua Bibi Rais.
Maisha ya Hillary Clinton katika picha
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017