Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 22:43

Ghasia, maandamano yazuka Atlanta baada ya kifo cha mtu mweusi

Afisa wa polisi mjini Atlanta afukuzwa kazi baada ya kupiga risasi iliyosababisha kifo cha mtu mweusi na afisa mwengine amepangiwa kazi nyingine za kiutawala, idara ya polisi imetangaza mapema Jumapili

Hatua hiyo inafuatia kujiuzulu Jumamosi kwa Mkuu wa Polisi wa mji wa Atlanta Erika Shields, baada ya Rayshard Brooks, umri miaka 27, kuuawa Ijumaa, na kusababisha wimbi jipya la maaandamano mjini Altanta baada ya kuwepo maandamano makubwa yakulaani kifo cha George Floyd akiwa chini ya ulinzi wa polisi huko Minneapolis yaliyokuwa yamepungua kasi.


Pandisha zaidi

16x9 Image

Jaffar Mjasiri

Ni Mwandishi na Msimamizi wa Mitandao ya Kijamii, VOASwahili

 

Makundi

XS
SM
MD
LG