Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 14:16

Freeman na wenzake watatu wakutwa na kesi ya kujibu na Mahakama Kuu Tanzania


Freeman na wenzake watatu wakutwa na kesi ya kujibu na Mahakama Kuu Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:57 0:00

Mwenyekiti wa chama cha upinzani Tanzania, Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu wamekutwa wana kesi ya kujibu katika kesi ya ugaidi inayowakabili.

XS
SM
MD
LG