Usalama ulikua mkali kuwahi kutokea, pale watu 35, 755 kutoka mataifa 95 waloshiriki katika mbiyo za marathon za Boston mwaka mmoja baada ya mabomu.
Maelfu washiriki mbiyo za Marathon ya Boston

1
Mkenya Rita Jeptoo asherehekea ushindi wa mbiyo za Marathon ya Boston 2014

2
Mkenya Rita Jeptoo akibusu Kombe aloshinda katika mbiyo za Marathon za Boston

3
Mmarekani Meb Keflezighi, mwenye asili ya KIeritrea akifurahia ushindi wake upande ya wanaume mbiyo za marathon za Boston, April 21, 2014.

4
Wakimbiaji wa mbiyo za marathon za Boston wakipita mtaa wa Boylston baada ya kukamilisha mbiyo za marathon za Boston 2014
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017