Mji mkuu wa biashara wa Gabon, Port-Gentil umepokea timu za kundi D katika finali za kuwania Kombe la afrika 2017. Mashabiki wa Mali, Ghana, Uganda na Misri walivamia mitaa ya mji huo kuanzia Jumanne timu zao ziliposhuka uwanjani.
Mji wa Port-Gentil wakaribisha Kombe la Afrika 2017
1
Mashabiki wa Mali katika mji wa Port-Gentil kabla ya mchuano wa timu yao siku ya Jumane Januari 16 2017. (VOA/ Timothée Donangmaye)
2
Bendera zinauzwa njiani katika mji wa Port-Gentil (VOA/ Timothée Donangmaye)
3
Mashabiki wa Mali katika mji wa Port-Gentil kabla ya mchuano wa timu yao siku ya Jumane Januari 16 2017. (VOA/ Timothée Donangmaye)
4
Mashabiki wa Mali washerehkea katika mji wa Port-Gentil kabla ya mchuano wa timu yao siku ya Jumane Januari 16 2017. (VOA/ Timothée Donangmaye)
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017