Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 02:45

Picha za makumbusho ya mashambulizi ya septembe 11 2001 Marekani

Marekani inaadhimisha miaka 15 tangu mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001 magaidi walipoteka ndege na kuzigongesha katika majengo ya World Trade Center mjini New York, na Pentagon mjini Washington. Ndege ya tatu ilianguka eneo la mashambani katika jimbo la Pennsylvania.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG