Watu 37 wanahofiwa wamefariki kutokana na mafuriko katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wa Kinshasa kutokana na mafuriko ya ghafla yaliyosababishwa na mvua nyingi ya Jumatano usiku kuamkia Alhamisi
Watu wasiopungua 37 wafariki kutokana na mafuriko ya ghafla Kinshasa DRC

1
Mtaa wa katikati wa Kinshasa umefunikwa kwa maji Alhamisi Januari 4, 2017. (VOA/TopCongo)

2
Garilililozama katika mafuriko ya Kinshasa,Januari 4, 2017. (VOA/TopCongo)

3
Mafuriko makubwa katika mji wa Kinshasa, yazamisha magari Januari 4, 2017. (VOA/TopCongo)

4
Mafuriko katika kitongoji mashuhuri cha Limete mjini Kinshasa, Januari 4 2017. (VOA/TopCongo)
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Facebook Forum