Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 04:26

Mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanyika Arusha


Rais Paul Kagame wa Rwanda, Yoweri Museveni wa Uganda na Uhuru Kenyatta wa Kenya kwenye picha ya awali. (kushoto kulia)
Rais Paul Kagame wa Rwanda, Yoweri Museveni wa Uganda na Uhuru Kenyatta wa Kenya kwenye picha ya awali. (kushoto kulia)

Mkutano wa viongozi kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki unafanyika Jumatano katika makao yake makuu yalioko kwenye mji wa Arusha, Tanzania. Baadhi ya viongozi wa kieneo walikuwa tayari wameanza kufika mapema kwa madhumuni ya kujadili maswala muhimu ya kieneo.

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:05 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Kwa wakati fulani, ilisemekana kuwa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi angeshiriki lakini baadaye ikabainika kuwa alimtuma makamu wa Rais kumuakulisha. Rais Yoweri Museveni wa Uganda ni miongoni mwa wale waliofika kwanza akilakiwa na mwenyeji wake Rais John Magufuli wa Tanzania.

XS
SM
MD
LG