VOA Direct Packages
Duniani Leo : Octoba 7 : Prof Gurnah apewa tuzo ya Nobel ya Fasihi
Kiungo cha moja kwa moja
Mwandishi mzaliwa wa Tanzania Abdulrazak Gurnah apewa tuzo ya Nobel ya Fasihi. Gurnah, aliyekulia visiwani Zanzibar na kuhamia nchini Uingereza kama mkimbizi katika kipindi cha mwisho cha miaka ya 1960, ni Muafrika wa tano kushinda tuzo ya Fasihi ya Nobel.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017
Facebook Forum