Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Mei 06, 2024 Local time: 20:34

DRC: Papa apokelewa na umati mkubwa wa watu Kinshasa


DRC: Papa apokelewa na umati mkubwa wa watu Kinshasa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Papa Francis amewasili Kinshasa Jumanne kuanza ziara ya siku nne nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na baadae ataelekea Sudan Kusini.

Papa ana nia ya kuwasilisha ujumbe wa amani kwa mataifa haya mawili yanayokabiliwa na migogoro na umaskini.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG