AMl look at social distancing around the world amid the coronavirus pandemic.
Corona yasababisha watu kubadili tabia zao za kila siku

1
Waislamu katika miskiti wa Al Akbar mjini Surabaya, Indonesia wanasali wakiwa wamejiweka mbali mbali wakati wa sala ya Ijuma, ingawa katika sheria za kusali katika uislamu waumini wanahitajika kusali wakiwa bega kwa bega.

2
Watu katika train ya usafiri wa umaa katika mji wa Buenos Aires, Argentina wanava maski za uso kujikinga kutokana na kuenea kwa virus vya corona ingawa waatalamu wanashauri kamba watu wasio wagonjwa hawana haja ya kuva.

3
Mjini Bangkok, Thailand mwanamke anasimama ndani ya lifti katika mahala iliyowekwa alama watu kutokaribiana katika jengo la maduka ili kupambana na COVID-19.

4
Watu mjini Potsdam Ujerumani wasubiri kuingia katika duka la chakula la Rewe wakiwa wamesimama nyuma ya mstari mwekundu ili wasikaribiane.