AMl look at social distancing around the world amid the coronavirus pandemic.
Corona yasababisha watu kubadili tabia zao za kila siku
5
Wanawake wawili wajiweka mbali na mbali wakizungumza katika bustani kati kati ya mji wa York Uingereza kaskazini. hii yote ni kwa sababu ya COVID-19.
6
Wanunuzi wasimama mbali na mbali katika mistari kuingia duka la chakula mjini Rome.
7
Wabunge wajiweka mbali na mbali ia wakati wa mkutano kujadili mswada kuhusu namna ya kupambana na corona nchini, katika bunge la Marekani mjini Washington.
8
Duka la kahawa limetengeneza boxing ya kuweka kahawa na kuwapatia wateja kwa kuvuta kamba ili wasikaribiane mjini Bangkok Thailand, wakati huu wa janga la COVID-19.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017