Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 29, 2023 Local time: 09:45

Wakristo washerekea Pasaka

Wakristo kote duniani wanasherekea Pasaka, siku ambayo wanaamini Yesu alifufuka siku tatu baada ya kusulubiwa. Papa Francis aliadhimisha siku hiyo kwa misa kwenye uwanja wa St. Peter's mjini Vatican.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG