Wanariadha wa Kenya wanaendelea kuwika katika Michezo ya Riadha Duniani huko Bejing ambapo siku ya Jumatano Julius Yego alinyakua medali ya dhahabu katika kurusha mkuki alipourusha mkuki wake umbali wa mita 92.78. Na katika mbiyo za mita 3 000 kuruka viunzi wanawake, Mkenya Hyvin Kiyeng Jepkemoi alitumia muda wa dakika 9:19:11 na kuchukua dhahabu ya pili kwa Kenya katika siku ya tano ya mkicehzo hiyo.
Wakenya wawika katika Michezo ya Riadha Duniani Bejing

1
Hyvin Kiyeng Jepkemoi wa Kenya akisherehekea ushindi wake wa medali ya dhahabu katika miyo za mita 3000 kuruka viunzi wanawake, katika Michezo ya Riadha Duniani katika uwanja wa michezo wa Bird's Nest Beijing, Jumatano, Aug. 26, 2015

2
Julius Yego akisherehekea ushindi wake wa medali ya dhahabu katika kurusha mkuki kwenye Michezo ya Riadha ya Dunia kwenye uwanja wa Bird's Nest Beijing, Wednesday, Aug. 26, 2015

3
Kenya's Hyvin Jepkemoi celebrates after winning the women's 3000m steeplechase final at the World Athletics Championships at the Bird's Nest stadium in Beijing, Wednesday, Aug. 26, 2015.

4
China Athletics Worlds