Polisi wa Burundi kwa mara nyingine tena Jumatatu May 4 walifyetua risasi na kuwauwa waandamanaji watatu wakati wa maandamano ya kumpinga Rais Pierre Nkurunziza kugombania kwa mhula wa tatu.
Polisi wa Burundi wawauwa waandamanaji watatu
9
Muandamanaji mmoja akibeba mawe ndani ya mfuko kabla ya kupambana na polisi wa kuzuia ghasia mtaa wa Musaga mjini Bujumbura, May 4, 2015.
10
Muandamanaji anawambia waandamanaji wenzake kusonga mbele hadi kizuizi cha polisi katika mtaa wa Nyakabiga mjini Bujumbura, May 4, 2015.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017