Polisi wa Burundi kwa mara nyingine tena Jumatatu May 4 walifyetua risasi na kuwauwa waandamanaji watatu wakati wa maandamano ya kumpinga Rais Pierre Nkurunziza kugombania kwa mhula wa tatu.
Polisi wa Burundi wawauwa waandamanaji watatu

1
Muandamanaji aliyejeruhiwa akizubiri kutibiwa katika zahanati ndogo kata ya Musaga mjini Bujumbura, May 4, 2015.

2
Mwanajeshi asimama kati ya waandamanaji wanaotia moto uchafu barabarani na polisi wa kupambana na ghasia huko kata ya Musaga mjini Bujumbura, May 4, 2015.

3
Mwanamke akitizama kutoka nyumbani kwake wakati polisi wanapoita katika mtaa wa Nakabiga, Bujumbura, May 4, 2015.

4
Waandamanaji wakikabiliana na polisi wa kupambana na ghasia katika wilaya ya Musaga mjini Bujumbura, May 4, 2015.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017