Milipuko ipatayo mitatu imetokea asubuhi ya Jumanne katika mji wa Brussels miwili katika uwanja wa ndege na mmoja katika kituo cha treni huku vyombo vya habari vikiripoti watu zaidi ya 20 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Watu zaidi ya 20 wamefariki katika milipuko, Belgium
Taarifa za vyombo vya habari zinaeleza kwamba mwendesha mashitaka mmoja wa Belgium amethibitisha shambulizi la kujitoa muhanga katika uwanja wa ndege wa Brussels.

5
Broken windows seen at the scene of explosions at Zaventem, March 22, 2016.

6
A woman is evacuated in an ambulance by emergency services after a explosion in a main metro station in Brussels, March 22, 2016.

7
Policemen stand guard at the entrance of a security perimeter set near Maalbeek metro station, on March 22, 2016 in Brussels, after a blast at this station near the EU institutions caused deaths and injuries.

8
In this image made from video, emergency rescue workers stretcher an unidentified person at the site of an explosion at a metro station in Brussels, March 22, 2016.