Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 14:24

Watu zaidi ya 20 wamefariki katika milipuko, Belgium

Taarifa za vyombo vya habari zinaeleza kwamba mwendesha mashitaka mmoja wa Belgium amethibitisha shambulizi la kujitoa muhanga katika uwanja wa ndege wa Brussels.

Milipuko ipatayo mitatu imetokea asubuhi ya Jumanne katika mji wa Brussels miwili katika uwanja wa ndege na mmoja katika kituo cha treni huku vyombo vya habari vikiripoti watu zaidi ya 20 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG