Milipuko ipatayo mitatu imetokea asubuhi ya Jumanne katika mji wa Brussels miwili katika uwanja wa ndege na mmoja katika kituo cha treni huku vyombo vya habari vikiripoti watu zaidi ya 20 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Watu zaidi ya 20 wamefariki katika milipuko, Belgium
Taarifa za vyombo vya habari zinaeleza kwamba mwendesha mashitaka mmoja wa Belgium amethibitisha shambulizi la kujitoa muhanga katika uwanja wa ndege wa Brussels.

1
People react as they walk away from Brussels airport after explosions rocked the facility in Brussels, Belgium, March 22, 2016.

2
Ambulances arrive to the scene at Brussels airport, after explosions rocked the facility in Brussels, Belgium, March 22, 2016.

3
People leave the scene of explosions at Zaventem airport near Brussels, Belgium, March 22, 2016.

4
People leave the scene of explosions at Zaventem airport near Brussels, March 22, 2016.