Matukio wakati wa Kombe la Dunia Brazil 2014, June 16
1
Shabiki wa Argentina akishangilia nje ya uwanja wa mpira wa Maracana kabla ya mchuano wa kundi F la Kombe la Dunia kati ya Argentina na Bosnia, mjini Rio de Janeiro, Brazil, June 15, 2014.
2
Rais wa Brazil Dilma Rousseff (kulia) akimkaribisha Kansela wa Ujerumani Angela Merkel aliyekwenza Brazil kuhudhuria michuano ya timu ya nchi yake katika Kombe la Dunia mjini Brasilia, June 15, 2014.
3
Watali wakiwa wamejipaka rangi za taifa za Brazil mjini, São Paulo, June 13, 2014. (Gesell Tobias/VOA)
4
A street vendor sells everything from Brazilian flags to green and yellow cowboy hats, in São Paulo, June 13, 2014. (Gesell Tobias/VOA)
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017