Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 07:13

Biden aweka vikwazo kwa Russia, Ukraine yaendelea kushambuliwa


Biden aweka vikwazo kwa Russia, Ukraine yaendelea kushambuliwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais Biden aweka vikwazo kwa Russia huku mashambulizi yakiendelea katika miji ya Ukraine huku mapigano yakiendelea kila upande kaskazini mashariki na kusini mwa nchi hiyo.

Mkutano wa kimataifa wa mazingira umemalizika nchini Kenya huku kukiwa na maazimio mbalimbali ikiwemo kukabiliana na matumizi ya plastiki.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG