Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 04, 2024 Local time: 02:17

Benki ya Maendeleo ya Afrika yaahidi kuwekeza $ bilioni 10,000 katika uzalishaji chakula


Benki ya Maendeleo ya Afrika yaahidi kuwekeza $ bilioni 10,000 katika uzalishaji chakula
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Benki ya Maendeleo ya Afrika yaahidi kuwekeza dola za Kimarekani bilioni 10,000 katika uzalishaji wa chakula katika mkutano wa usalama wa chakula nchini Dakar.

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limetangaza utayari wake wa kuzisaidia nchi za jumuiya ya mashariki kwenye miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG