Ligi hii ya Mpira wa Kikapu Afrika (BAL) imezileta pamoja timu za Kiafrika 12 mjini Kigali, mji mkuu wa Rwanda katika mashindano yaliyoanza Mei 16 na yatadumu hadi Mei 30, 2021.
#BALonVOA2021 : Rais wa BAL aeleza umuhimu wa Ligi inayofanyika Rwanda
Mahojiano maalum na Rais wa Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika (BAL) Amadou Gallo Fall na mwandishi wa Sauti ya Amerika Cheick Thiero, kwa lugha ya Kiingereza akieleza umuhimu na mafanikio ya ligi hiyo katika wiki ya kwanza. Endelea kumsikiliza...
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017
Facebook Forum