Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 09:06

BAL 2022: Timu ya mpira wa kikapu ya Guinea yachukua ushindi mwingine


BAL 2022: Timu ya mpira wa kikapu ya Guinea yachukua ushindi mwingine
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:28 0:00

Washindi wa mechi ya ufunguzi ya BAL ya msimu wa pili timu ya Seydou Legacy Athletique Club (SLAC) ya Guinea wamepata ushindi mwingine dhidi ya Ferroviario da Beira ya Msumbiji, kwa jumla ya pointi 90-74 siku ya Jumamosi.

Makundi

XS
SM
MD
LG