Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 08:44

BAL 2022: Morocco yaikabili Tunisia huko Dakar Ijumaa


BAL 2022: Morocco yaikabili Tunisia huko Dakar Ijumaa
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:43 0:00

Ikiwa siku ya tisa tangu michuano ya Ligi ya Mpira wa Kikapu kuanza huko Dakar Senegal mabingwa wa Morocco wanachuana na mabingwa wa Tunisia siku ya Ijumaa.

Na wakati wawakilishi wa Afrika Mashariki timu ya Rwanda itacheza Ijumaa na timu ya Dakar ambapo Rwanda tayari imeshinda mechi mbili ikiwa katika nafasi nzuri katika mashindano ya BAL yanayoendelea Dakar.

Makundi

XS
SM
MD
LG