Polisi wa kupambana na ghasia huko Ubelgiji wametumia mabomba ya maji kuwatawanya wanaharakari wa itikadi kali za mrengo wa kulia wanaopinga wahamiaji walopambana na waombolezi.
Waandamanaji wa mrengo wa kulia washambulia waombolezi Brussels

5
Polisi wa kupambana na ghasia wajitayarisha kumaliza malalamiko ya wanaharakati wa mrengo wa kulia wenye itikadi kali.(H. Murdock/VOA)

6
Wanaharakati wa itidaki kadi za mrengo wa kulia wamechafua barabara wakati polisi wakiwafukuza kutoka kati kati ya Brussels. (H. Murdock/VOA)

7
Calling themselves ‘Casuals Against Terrorism’ the group set off flares and was eventually repelled with water cannons. (H. Murdock/VOA)

8
Polisi wa kupambana na ghasia wakijipanga na kusomngea mbele. huko Brussels. (H. Murdock/VOA)