Moto huo ulitokea katika eneo linalohifadhi mbao, mratibu wa mji wa Nairobi Kangethe Thuku, ambaye ni afisa wa ngazi ya juu amesema. Watu 15 wamepoteza maisha na wengine 70 kujeruhiwa wakati moto ulipotokea na kuteketeza soko na eneo la makazi katikati ya mji wa Nairobi, saa nane usiku.
Ajali ya moto Nairobi yateketeza biashara, makazi ya watu
Baadhi ya juhudi za kuzuia moto kuenea katika eneo la Gikomba Nairobi, Kenya.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017