Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Februari 19, 2025 Local time: 01:19

Ajali ya basi yaua 7, kujeruhi 30 Kenya


Map of Kenya showing major cities
Map of Kenya showing major cities

Ajali ya basi yaua 7, kujeruhi 30 barabara kuu ya Nakuru-Eldoret Kenya.

Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi Agnes Kamau, watu wengine 30 walikuwa wamejeruhiwa vibaya sana.

Amesema ajali hiyo ilitokea eneo la Equator katika mpaka kati ya Uasin Gishu na kaunti za Baringo.

Magari yote mawili yaligongana yalikuwa yanaelekea Eldoret.

Mabaki ya basi hilo yalivutwa kwenda kituo cha polisi cha Koibatek

XS
SM
MD
LG