Viongozi kadhaa wa Afrika walikutana katika mkutano wa Baraza la Usalama na Amani kuhusu Ugaidi mjini Nairobi Septemba 2, 2014. Mkutano huo ulijadili uratibu baina ya nchi hizo katika kupambana na ugaidi.
Mkutano wa Baraza la Usalama na Amani la Umoja wa Afrika kuhusu Ugaidi, Nairobi, Kenya Sept 2, 2014

1
Rais wa, Uhuru Kenyatta, akisikiliza mazungumzo katika mkutano wa AU, Sept. 2, 2014, mjini Nairobi, Kenya.

2
Rais wa Nigeria, Dr. Goodluck Jonathan, akihudhuria mkutano wa AU Nairobi, Kenya Sept. 2, 2014

3
Rais wa Chad, Idriss Deby, katika mkutano wa AU Summit, Nairobi, Kenya.

4
Rais wa Nigeria, Dr. Goodluck Ebele Jonathan, wakati wa hotuba yake katika mkutano wa AU, Nairobi, Kenya.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017