Pembe za ndovu zimepatikana kaskazini mwa msumbiji na Tanzania na tathmini yake imetolewa na mamlaka ya Forodha ya Sri lanka kuwa zina thamani ya dola ya zaidi ya milioni 2.5. zikiwa na kilogramu 1,529. Pembe hivi ziliharibiwa na mashine na kukatwa vipande vidogovidogo na baada vitachomwa hadi kuwa majivu.
Sri Lanka yateketeza pembe za ndovu kutoka Tanzania na Msumbiji.
Pembe za ndovu zilizokamatwa miaka mitatu iliyopita zimeonyeshwa kabla ya kuharibiwa katika mji wa Colombo, Sri lanka.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017