Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 10, 2026 Local time: 01:48

Utawala wa Biden wawekeza Mabilioni kukabiliana na njaa, magonjwa na majanga


Utawala wa Biden wawekeza Mabilioni kukabiliana na njaa, magonjwa na majanga
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:50 0:00

Rais wa Marekani akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa alisema: "utawala wetu umewekeza zaidi ya dola bilioni 150 kuleta maendeleo na malengo mengine ya mipango ya  maendeleo endelevu. Ikijumuisha dola bilioni 20 kwa ajili ya usalama wa chakula.

Pia alisema: "Zaidi ya bilioni 50 kwa ajili ya afya ulimwenguni

Tunakusanya mabilioni zaidi ya uwekezaji katika sekta binafsi

Tumechukua hatua kabambe \za hali ya hewa katika historia..."

Forum

Makundi

XS
SM
MD
LG