Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 20, 2026 Local time: 09:09

Marekani imesema haihusiki na mauaji ya kiongozi wa Hamas


Marekani imesema haihusiki na mauaji ya kiongozi wa Hamas
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Serikali ya Marekani imesema kuwa haihusiki na mauaji ya kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas Ismail Haniyeh aliyeuwawa jana nchini Iran.

XS
SM
MD
LG