Maandamano na mapigano baada ya wanamgambo wa Hamas kushambulia Israel
Mapigano makali yameripotiwa kati ya jeshi la Israel na wapiganaji wa Hamas, siku ya pili baada ya wanamgambo hao kuishambulia Israel. Maandamano ya kuunga mkono pande zote mbili yamefayika katika miji mbali mbali ya dunia.
5
Bendera ya Israel ikiwashwa kwenye jengo la ofisi ya waziri mkuu wa Uingereza, 10 Downing Street, mjini London kuonyesha uungaji mkono kwa Israel.
6
Polisi wa Israel wakimuondoa mwanamke na mtoto wake kutoka eneo ambalo roketi iliyofyatuliwa kutoka Ukanda wa Gaza kuanguka katika mji wa Ashkelon, kusini mwa Israel Jumamosi usiku.,
7
Magari yanawaka moto baada ya roketi iliyofyatuliwa kutoka Gaza kulipuka kwenye eneo la kuegesha magari mjini Ashkelon, kuisni mwa Israel.
8
Polisi wa mjini New York wakiwatenganisha waandamanaji wanaoiunga mkono Israel (kushoto) kuwakaribia waandamanaji wanayoiunga mkono Palestina (kulia), kwenye uwanja wa Times Square Oktoba 8, 2023 baada ya wanamgambo wa Hamas kuishambulia Israel.
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017