Maandamano na mapigano baada ya wanamgambo wa Hamas kushambulia Israel
Mapigano makali yameripotiwa kati ya jeshi la Israel na wapiganaji wa Hamas, siku ya pili baada ya wanamgambo hao kuishambulia Israel. Maandamano ya kuunga mkono pande zote mbili yamefayika katika miji mbali mbali ya dunia.
9
Moto mkubwa umewaka na moshi umetanda hewani katika mji wa Gaza baada ya jeshi la Israel kudondosha mabomu siku ya Jumapili.
10
Wanajeshi wa Israel wakipita katika eneo ambalo halikutajwa karibu na mpaka na Gaza wakati nchi hiyo imetangaza vita na wapiganaji wa Hamas. Oktoba 8, 2023.
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017