Tinubu mwenye umri wa miaka 71 anatokea eneo la kusini anachukua madaraka kutoka kaskazini mwa nchi hiyo kwa mtangulizi wake mwenye umri wa miaka 80 wakati taifa hilo lenye idadi kubwa ya watu barani Afrika likikabiliwa na matatizo ya kiuchumi na mzozo wa kiusalama. Picha zote na Mwandishi wa Idhaa ya Hausa ya Sauti ya Amerika Medina Dauda.
Shughuli mbalimbali zilizofanyika katika sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Nigeria Tinubu
Mwanasiasa wa muda mrefu Bola Tinubu aliapishwa kuwa rais wa Nigeria siku ya Jumatatu akichukua nafasi ya Muhammadu Buhari, Jenerali wa zamani ambaye ameondoka kwenye kiti hicho baada ya kutumikia mihula miwili madarakani.
9
Sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu
10
Sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017