Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 11:24

Wafanya biashara wa soko kuu la kariakoo Tanzania waendelea na mgomo


Wafanya biashara wa soko kuu la kariakoo Tanzania waendelea na mgomo
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:32 0:00

Wakati mgomo wa kufunga biashara katika soko la kimataifa la Kariakoo kushika kasi kwa siku ya tatu sasa, baadhi ya wafanyabiashara hao wamemueleza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuwa viongozi wengi wenye nafasi Serikalini hawapo kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania kujikwamua kiuchumi.

XS
SM
MD
LG