Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 15:37

Mwandishi wa habari auawa kwa roketi Ukraine


Mwandishi wa habari auawa kwa roketi Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:51 0:00

Mwandishi wa shirika la habari la AFP nchini Ukraine anayesimamia kazi ya kupiga video Arman Soldin aliuawa Jumanne na roketi iliyorushwa karibu na mji wa Chasiv Yar mashariki mwa Ukraine, waandishi wa AFP na walioshuhudia tukio hilo walisema.

XS
SM
MD
LG