Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Desemba 14, 2025 Local time: 18:25

Saudi Arabia yafanya mazungumzo ya kutafuta amani na waasi wa Kihouthi Yemen


Saudi Arabia yafanya mazungumzo ya kutafuta amani na waasi wa Kihouthi Yemen
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:23 0:00

Maafisa wa Saudi Arabia wamefanya mazungumzo na waasi wa Kihouthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen kama sehemu ya juhudi za kimataifa za kutafuta suluhu katika mapigano yanayoendelea kwa miaka tisa nchini Yemen.

XS
SM
MD
LG